DK KAWAMBWA AKILINDWA NA UTITIRI WA POLISI

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa akiingia kwenye viwanja vya Kidongo Chekundu, Dar es Salaam jana, huku akiwa na ulinzi mkali wakati wa maandamano ya wanafunzi wa kiislamu waliokuwa wakipinga kitendo cha uongozi wa Shule ya Sekondali ya Ndanda, Masasi, Mtwara, kuwafukuza wanafunzi 20 wa kiislamu.

                                 Wanafunzi wakilindwa ili wasije wakaleta tafrani
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, akimkaribisha Waziri Kawambwa kwenye viwanja hivyo. (PICHA ZOTE KWA HISANI YA BLOGU YA MTAA KWA MTAA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA