|
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa akiingia kwenye viwanja vya Kidongo Chekundu, Dar es Salaam jana, huku akiwa na ulinzi mkali wakati wa maandamano ya wanafunzi wa kiislamu waliokuwa wakipinga kitendo cha uongozi wa Shule ya Sekondali ya Ndanda, Masasi, Mtwara, kuwafukuza wanafunzi 20 wa kiislamu. |
Wanafunzi wakilindwa ili wasije wakaleta tafrani
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, akimkaribisha Waziri Kawambwa kwenye viwanja hivyo. (PICHA ZOTE KWA HISANI YA BLOGU YA MTAA KWA MTAA)
Comments