DK SHAIN AFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WAPYA

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi, Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Mabalozi walioteuliwa na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni kuiwakilisha Tanzania katika Nchi  mbalimbali. Mabalozi hao walikwenda kumuaga Rais  Shein Ikulu Mjini Zanzibar leo. Kutoka kushoto ni Dk. Deodolus Kamala (Ubeligiji), Dk. Batilda Burian (Kenya) na Philip Marmo anayekwenda China. (PICHA NA RAMADHAN OTHMAN-IKULU ZNZ)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi, Dk.
Ali Mohamed Shein,akisalimiana Mabalozi walioteuliwa na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni kuiwakilisha Tanzania katika Nchi  mbalimbali. Mabalozi hao walikwenda kumuaga Rais  Shein Ikulu Mjini Zanzibar leo. Kutoka kushoto ni Dk. Deodolus Kamala (Ubeligiji), Dk. Batilda Burian (Kenya) na Philip Marmo anayekwenda China. (PICHA NA RAMADHAN OTHMAN-IKULU ZNZ)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA