DK. SHEIN AWEKA JIWE LA MSINGI NYUMBA YA MADKTARI WANORWAY
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk
Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kama ishara ya uwekaji wa jiwe la
msingi Nyumba ya madaktari wa Norway Chuo cha Sayansi ya Afya
Mbweni,ikiwa ni miongoni mwa shamra shamra za miaka 48 ya Mapinduzi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk
Ali Mohamed Shein,akisoma maandishi ya jiwe la nyumba ya makatari
baada ya kufungua pazia kama ishara ya uwekaji wa jiwe la msingi
Nyumba ya madakatari wa Norway, katika Chuo cha Sayansi ya Afya
Mbweni,ikiwa ni miongoni mwa shamra shamra za miaka 48 ya Mapinduzi ya
Zanzibar,( kushoto) Waziri wa Afya wa Norway,Anne Crestrestom
Erichsen.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk
Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mkuu wa Chuo cha Afya ya Sayansi
Hakim Bilal,alipofika chuoni hapo kuweka jiwe la msingi Nyumba ya
madaktari wa Norway,ikiwa ni miongoni mwa shamra shamra za miaka 48 ya
Mapinduzi ya Zanzibar.
(Picha na Ramadhan Othman IKULU)
Comments