DK. SHEIN AWEKA JIWE LA MSINGI NYUMBA YA MADKTARI WANORWAY

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kama ishara ya uwekaji wa jiwe la msingi Nyumba ya madaktari wa Norway Chuo cha Sayansi ya Afya Mbweni,ikiwa ni miongoni mwa shamra shamra za miaka 48 ya Mapinduzi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akisoma maandishi ya jiwe la nyumba ya makatari baada ya kufungua pazia kama ishara ya uwekaji wa jiwe la msingi Nyumba ya madakatari wa Norway, katika Chuo cha Sayansi ya Afya Mbweni,ikiwa ni miongoni mwa shamra shamra za miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar,( kushoto) Waziri wa Afya wa Norway,Anne Crestrestom Erichsen.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mkuu wa Chuo cha Afya ya Sayansi Hakim Bilal,alipofika chuoni hapo kuweka jiwe la msingi Nyumba ya madaktari wa Norway,ikiwa ni miongoni mwa shamra shamra za miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar. (Picha na Ramadhan Othman IKULU)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA