FAMILIA YA KAMANDA WA MATUKIO, MWAIKENDA YAFURAHIA KUUPOKEA MWAKA MPYA WA 2012

Bibi Ezelina akiwa na mjuu wake Geofrey wakati wa hafla ya familia ya Mmilikiwa Blogu hii Kamanda Mwaikenda, ikifurahia kuupokea mwaka mpya wa 2012, eneo la Kivule, Dar es Salaam.

                               
Bibi Ezelina akifurahia jambo na Mjuu wake Lusekelo,. Picha ya chini ni mjuu wake Tusekile akitafakari jambo, halafu picha inayofuata, anaonekana akiwa na wajukuu pamoja na nyanya zake
Bibi Ezelina, ambaye ni mzazi wa Kamanda Mwaikenda, akiwa na wajukuu pamoja na nyanya wake, Nyumbani kwa Kamanda, Kivule.
Bi Elzelina akiwa na wajukuu zake nyumbani kwa Kamanda Mwaikenda, Kivule, Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA