|
Bibi Ezelina akiwa na mjuu wake Geofrey wakati wa hafla ya familia ya Mmilikiwa Blogu hii Kamanda Mwaikenda, ikifurahia kuupokea mwaka mpya wa 2012, eneo la Kivule, Dar es Salaam. |
Bibi Ezelina akifurahia jambo na Mjuu wake Lusekelo,. Picha ya chini ni mjuu wake Tusekile akitafakari jambo, halafu picha inayofuata, anaonekana akiwa na wajukuu pamoja na nyanya zake
|
Bibi Ezelina, ambaye ni mzazi wa Kamanda Mwaikenda, akiwa na wajukuu pamoja na nyanya wake, Nyumbani kwa Kamanda, Kivule. |
Bi Elzelina akiwa na wajukuu zake nyumbani kwa Kamanda Mwaikenda, Kivule, Dar es Salaam.
Comments