HAFLA YA MASPIKA WA NCHI ZA JUMUIYA YA MADOLA


  Rais wa Visiwa vya Trinidad and Tobago Mhe. Proffesor George Maxwell Richards, akimkaribisha Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa na Rais huyo kwa maspika wa Nchi wananchama wa Jumuia ya Madola. Zaidi ya Maspika  na viongozi mbalimbali wa kibunge 100 wanafanya mkutano wao wa 21 katika Visiwa vya Trinidad and Tobago.

Spika wa  Bunge la Visiwa vya Trinidad and Tobago Mhe. Wade Mark (Mb) akimkaribisha Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa na Rais wa Visiwa vya Trinidad and Tobago Mhe. Proffesor George Maxwell Richards, kwa maspika wa nchi wananchama wa Jumuia ya Madola. Zaidi ya Maspika  na viongozi mbalimbali wa kibunge 100 wanafanya mkutano wao wa 21 katika Visiwa vya Trinidad and Tobago
 

   Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akisalimiana na Katibu wa Bunge la Ghana Ndg. Emmanuel Anyimadu wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa na Rais wa Visiwa vya Trinidad and Tobago Mhe. Proffesor George Maxwell Richards, kwa maspika wa nchi wananchama wa Jumuia ya Madola ambao wanahudhuria mkutano wao wa 21 katika Visiwa vya Trinidad and Tobago
  Spika Makinda akiteta Jambo na Spika wa Bunge la Kenya Mhe. Kenneth Marende (Mb) wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa na Rais wa Visiwa vya Trinidad and Tobago Mhe. Proffesor George Maxwell Richards, kwa maspika wa nchi wananchama wa Jumuia ya Madola ambao wanahudhuria mkutano wao wa 21 katika Visiwa vya Trinidad and Tobago.
 Spika Makinda akiteta Jambo na Spika wa Bunge la Uganda Mhe. Rebbeca Kadaga (Mb) wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa na Rais wa Visiwa vya Trinidad and Tobago Mhe. Proffesor George Maxwell Richards, kwa maspika wa nchi wananchama wa Jumuia ya Madola ambao wanahudhuria mkutano wao wa 21 katika Visiwa vya Trinidad and Tobago.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.