HAPPY BITHDAY AHMAD ISSA MICHUZI A.K.A MICHUZIJR

Leo ni siku ya kuzaliwa mdau na Blogger maarufu Ahmad Issa a.k.a  MichuziJR ambaye anaendesha blogu ya JIACHIE. Mdau huyu leo anatimiza miaka yake kadhaa baada ya kuifyeka vilivyo lakini Ijumaa yaleo ameitumia kumshukuru Mungu kwa baraka na afya tele aliyomjalia na kumsihi amzidishie miaka mingine kadhaa huko mbele.

Blogu hii inaungana na wadau wote wa Mitandao ya Jamii ya Father Kidevu Blog, Mta kwa Mtaa Blog, Michuzi Blog, Kajunason Blog, JIACHIE, na mingine mingi kukutakia heri na fanaka katika kuendeleza libeneke huku liendapo.

HAPPY BIRTHDAY!! TO YOU!!! HAPPY BIRTHDAY TO YOUUUUUU!!!
KATA KEKI TULEEEEE!!!

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA