HEROIN YENYE THAMANI YA BILIONI 6.3 YAKAMATWA KIJIJI CHA MCHINGA MKOANI LINDIFriday, January 13, 2012 7:11 PM JESHI la Polisi mkoani Lindi wakishirikiana na askari wa kupambana na kuzuia madawa ya kulevya kutoka jijini Dar es salaam, wamekamata jumla ya kilo 210 za madawa ya kulevya aina ya Heroine, yanayokadiliwa kuwa na thamani ya Sh, 6.3 bilioni.
Kaimu kamanda wa Polisi mkoani hapa, George…
Kaimu kamanda wa Polisi mkoani hapa, George…
Comments