IPC YAENDESHA MKUTANO WA WADAU WA HABARI ASUBUHI HII
viongozi mbali mbali wakiwa katika ukumbi wa Manispaa ya Iringa katika mkutano wa wadau wa habari ,kutoka kushoto ni katibu wa IPC Frank Leonard , Mwenyekiti wa IPC Daud Mwangosi ,mgeni rasmi mkuu wa chuo kikuu cha Tumaini Iringa Prof.Nicholaus Bangu ,mkuu wa wilaya ya Iringa Aser Msangi ,na Mhe.Pindi Chana
wadau wa habari wakisikiliza kwa makini
Comments