IPC YAENDESHA MKUTANO WA WADAU WA HABARI ASUBUHI HII 

Mbunge wa viti maalum mkoa wa Njombe Pindi Chana (CCM) ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya bunge na katiba akitoa mada juu ya katiba mpya asubuhi hii katika mkutano wa wadau wa habari ulioandaliwa na chama cha waandishi wa habari mkoa wa Iringa (IPC) chini ya ufadhili wa UTPC (PICHA YA BLOG YA FRANCIS GODWIN)
viongozi mbali mbali wakiwa katika ukumbi wa Manispaa ya Iringa katika mkutano wa wadau wa habari ,kutoka kushoto ni katibu wa IPC Frank Leonard , Mwenyekiti wa IPC Daud Mwangosi ,mgeni rasmi mkuu wa chuo kikuu cha Tumaini Iringa Prof.Nicholaus Bangu ,mkuu wa wilaya ya Iringa Aser Msangi ,na Mhe.Pindi Chana
wadau wa habari wakisikiliza kwa makini

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA