Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed
Shein,akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa Jengo la Bodi ya Mapato
Zanzibar (ZRB) huko Mazizini Nje ya Mji wa Zanzibar,ikiwa ni shamra
shamra za miaka 48 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein
akikunjua pazia kuashiria kufungua rasmi jengo la Bodi ya mapato
Zanzibar hafla hiyo ilifanyika huko Mazizini mjini Zanzibar
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed
Shein,akiuliza swali kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi na Wajumbe wa
Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Mapato Zanzibar, wakati wa uzunduzi wa
jengo la Bodi hiyo huko Mazizini Nje ya Mji wa Zanzibar,ikiwa ni shamra
shamra ya miaka 48 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.
Baadhi
ya Mabalozi na Viongozi walioalikwa katika sherehe za Uzinduzi wa
Jengo la Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) huko Mazizini Nje ya Mji wa
Zanzibar,ikiwa ni shamra shamra za miaka 48 ya Mapinduzi matukufu ya
Zanzibar,lililozinduliwa na Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein jana.
Baadhi
ya Wananchi na Wazee walioalikwa katika sherehe za Uzinduzi wa
Jengo la Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) huko Mazizini Nje ya Mji wa
Zanzibar,ikiwa ni shamra shamra za miaka 48 ya Mapinduzi matukufu ya
Zanzibar,lililozinduliwa na Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein jana.Picha na Hamad Hija Maelezo- Zanzibar
Comments