Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Jaji mstaafu Damian Lubuva kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Ikulu, Dar es Salaam. (PICHA NA MWANAKOMBO JUMAA -MAELEZO)
JK akompongeza Lubuva baada ya kumwapisha leo asubuhi
Kaibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Penieli Lyimo (kulia) akiongea na Jaji Mkwawa (shoto) Na Msajili wa vyama vya siasa John Tendwa wakati wa hafla hiyo
4-Rais Jakaya Kikwete akiuapisha Julius Benedicto Mallaba kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi (NEC)
6- Picha ya pamoja ya Rais Jakaya kikwete, Makamu wa Rais Dr, Bilal pamoja na viongozi wakuu wa mahakama
JK akompongeza Lubuva baada ya kumwapisha leo asubuhi
Kaibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Penieli Lyimo (kulia) akiongea na Jaji Mkwawa (shoto) Na Msajili wa vyama vya siasa John Tendwa wakati wa hafla hiyo
4-Rais Jakaya Kikwete akiuapisha Julius Benedicto Mallaba kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi (NEC)
6- Picha ya pamoja ya Rais Jakaya kikwete, Makamu wa Rais Dr, Bilal pamoja na viongozi wakuu wa mahakama
Comments