Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete (kushoto) akiwa katika kikao cha maandalizi na viongozi wa Tanzania jana jijini Davos, Uswis, kabla ya kuanza mkutano wa mwaka huu wa Umoja wa Uchumi Duniani (WEF) ulioanza leo nchini humo. (PICHA NA IKULU)
Rais Jakaya Kikwete akilakiwa na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Profesa Jumanne Maghembe alipowasili Davos, Uswis jana, kuhudhuria mkutano wa mwaka huu wa Umoja wa Uchumi Duniani (WEF) ulioanza nchini humo. (PICHA NA IKULU)
Rais Jakaya Kikwete akilakiwa na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Profesa Jumanne Maghembe alipowasili Davos, Uswis jana, kuhudhuria mkutano wa mwaka huu wa Umoja wa Uchumi Duniani (WEF) ulioanza nchini humo. (PICHA NA IKULU)
Comments