JK AWASILI DAVOS USWIS

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete (kushoto) akiwa katika kikao cha maandalizi na viongozi wa Tanzania jana jijini Davos, Uswis, kabla ya kuanza mkutano wa mwaka huu wa Umoja wa Uchumi Duniani (WEF) ulioanza leo nchini humo. (PICHA NA IKULU)
Rais Jakaya Kikwete akilakiwa na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Profesa Jumanne Maghembe alipowasili Davos, Uswis jana, kuhudhuria mkutano wa mwaka huu wa Umoja wa Uchumi Duniani (WEF) ulioanza nchini humo. (PICHA NA IKULU)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA