KAJIMA KUJENGA UPYA BARABARA YA KILWA

Sehemu ya Barabara ya Kilwa, Dar es Salaam, ambayo kwa mujibu wa makubaliano ya Serikali ya Japan na Tanzania yaliyofikiwa Dar es Salaam, itajengwa tena upya na Kampuni ya Ujenzi ya Kajima baada ya awali kuvurunda.
Waziri wa Ujenzi, John Magufuli (kushoto) akibadilishana hati za makubaliano na Balozi wa Japan nchini, Masaki Okada baada kutiliana saini mkataba ambapo Serikali ya Japan imekubali Kampuni ya Kajima kurudia tena kujenga upya Barabara ya Kilwa ambayo ilijengwa vibaya na kampuni hiyo. Hafla hiyo ilifanyika, Dar es Salaam

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.