Kenya yasema al-Shabaab yasambaratika

Jeshi la Kenya linasema kuwa kikundi cha wapiganaji wa Kiislamu wa Somalia, al-Shabaab, kinasambaratika, huku shambulio la Kenya nchini humo linamezidi kuwa na kasi.
Ndege ya jeshi la Kenya

Msemaji wa jeshi la Kenya, Kanali Cyrus Oguna, aliwaambia waandishi wa habari mjini Nairobi, kwamba mgawanyiko kati ya viongozi wa al-Shabaab unamaanisha kuwa mwisho wa kikundi hicho hauko mbali.

Alisema mashambulio yaliyofanywa na ndege za Kenya hapo jana yaliuwa wapiganaji wa al-Shabaab kama 60, na kwamba wapiganaji 20 wamejiunga na upande wa jeshi la Kenya, katika muda wa majuma mawili.

Lakini mwandishi wa BBC Afrika Mashariki, anasema ni shida sana kuthibitisha taarifa hizo.

Al-Shabaab inasema itawashinda Wakenya.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA