Khadija Kopa, Tip Top Connection wafunika Dar Live!

Moto wa Dar Live unazidi kupamba moto kila wiki na wikiendi iliyopita, mwimbaji taarab mahiri nchini Khadija Kopa akiwa na TOT pamoja na wasanii wa Tip Top Connection, wakiongozwa na Rais wao Madee, walitoa shoo kali ya kufa mtu na kuacha historia ya kipekee kwa wakazi wa wilaya ya Temeke na kwingineko waliohudhuria shoo hiyo. Picha zinaonesha sehemu ya mpango mzima ulivyokuwa:(Picha kwa hisani ya Full Shangwe Blog)
Mashabiki wakijiachia ndani ya Dar Live.
Kiongozi wa Tip Top Connection Madee akipagawisha mashabiki wa Mbagala
Mkata nyonga mahiri wa TOT taarab, Queen Emmy akifanya vitu vyake jukwaani
Safu ya unenguaji ya TOT ikiongozwa na Khadija Kopa jukwaani.
Ndani ya kiwanja cha Dar Live mashabiki wakila bata.
Watoto wakijiachia ndani ya Dar Live

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA