|
Katibu Mkuu wa Cuf, mAALIM Seif Sharrif Hamad, akihutubia katika mkutano wa hadhara kuelezea hatua waliyomchukulia Mbunge wa Wawi, Hamad Rashi Mohamed ya kumtimua kwenye chama pamoja na baahi ya wajumbe wengine wa baraza Kuu la chama hicho. Mkutano huo ulifanyika jana kwenye viwanja vya Bakhresa, Manzese Dar es Salaam. |
|
Sehemu ya umati wa wafuasi wa CUF, ukiwa katika mkutano huo |
|
Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Tanzania Bara, Julius Mtatiro akiwa na mwanawe kukanusha habari za Hamad Rashid kuwa ni mtoto |
|
Sehemu ya umati wa wana cuf |
|
Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Zanzibar, Ismail Juaa akihutubia katika mkutano huo |
Mbunge wa Jimbo la Lindi Mjini, Baruani (CUF) akihutubia katika mkutano huo
Comments