MAGARI MATATU YAGONGANA JIONI HII MAENEO YA MWANJELWA



Magari matatu yamegongana jioni hii maeneo ya mwanjelwa dereva wa gari aina ya toyota carina tax alisimama ghafa na ndipo magari yaliyofwatia nyuma kushinda kushika breki na kugongana




Madereva wa magari hayo wakijaribu kuwekana sawa huku kila mmoja akimlaumu mwenzake ndiye aliyosababisha ajali hiyo huku mingine akidai mvua imesababisha ajali hiyo kwani alipokanyaga breki gari yake iliteleza. (PICHA NA BLOGU YA MBEYA YETU)


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA