MASHINDANO YA DARTS YAPAMBA MOTO DODOMA


PICHA DARTS

Mchezaji wa Timu ya Magereza Dar es Salaam,Silvanous Kazimoto akirusha vishale kwenye ubao wakati wa mchezo wa makundi kwenye mashindano ya Taifa ya mchezo wa vishale (Darts) yanayoendelea kufanyika katika ukumbi wa Rose Garden,Mjini Dodoma.
 
Mchezaji wa Timu ya Magereza Dar es Salaam,Abel Shoo akirusha vishale kwenye ubao wakati wa mchezo wa makundi kwenye mashindano ya Taifa ya mchezo wa vishale (Darts) yanayoendelea kufanyika katika ukumbi wa Rose Garden,Mjini Dodoma.
Mchezaji wa Timu ya Magereza Rombo,Safina Msuya akirusha vishale kwenye ubao wakati wa mchezo wa mchezaji mmoja mmoja kwa upande wa wanawake kwenye mashindano ya Taifa ya mchezo wa vishale (Darts) yanayoendelea kufanyika katika ukumbi wa Rose Garden,Mjini Dodoma

Mchezaji wa Timu ya Magereza Rose Garden Dodoma,Abdulrahman Ismail akirusha vishale kwenye ubao wakati wa mchezowake dhindi ya Juma Shabani wa Timu ya Magereza Arusha ikiwa ni hatua ya makundi kwenye mashindano ya Taifa ya mchezo wa vishale (Darts) yanayoendelea kufanyika katika ukumbi wa Rose Garden,Mjini Dodoma.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA