PICHA DARTS
Mchezaji
wa Timu ya Magereza Dar es Salaam,Silvanous Kazimoto akirusha vishale
kwenye ubao wakati wa mchezo wa makundi kwenye mashindano ya Taifa ya
mchezo wa vishale (Darts) yanayoendelea kufanyika katika ukumbi wa Rose
Garden,Mjini Dodoma.
Mchezaji
wa Timu ya Magereza Dar es Salaam,Abel Shoo akirusha vishale kwenye
ubao wakati wa mchezo wa makundi kwenye mashindano ya Taifa ya mchezo
wa vishale (Darts) yanayoendelea kufanyika katika ukumbi wa Rose
Garden,Mjini Dodoma.
Mchezaji
wa Timu ya Magereza Rombo,Safina Msuya akirusha vishale kwenye ubao
wakati wa mchezo wa mchezaji mmoja mmoja kwa upande wa wanawake kwenye
mashindano ya Taifa ya mchezo wa vishale (Darts) yanayoendelea
kufanyika katika ukumbi wa Rose Garden,Mjini Dodoma
Mchezaji
wa Timu ya Magereza Rose Garden Dodoma,Abdulrahman Ismail akirusha
vishale kwenye ubao wakati wa mchezowake dhindi ya Juma Shabani wa Timu
ya Magereza Arusha ikiwa ni hatua ya makundi kwenye mashindano ya
Taifa ya mchezo wa vishale (Darts) yanayoendelea kufanyika katika
ukumbi wa Rose Garden,Mjini Dodoma.
Comments