|
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kuhusu ushirikiano na Misri katika sekta mbalimbali. Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, Mohamed Kamel Amr. |
Baadhi ya maofisa kutoka Misri wakiwa pamoja na baadhi ya waandishi wa habari wa hapa nchini wakati wa mkutano huo
Wanahabari wakifuatilia kwa makini wakati wa mkutano huo
Comments