MBUNGE VICK KAMATA AKABIDHI BAISKELI 30 KWA WALEMAVU GEITA
Mwenyekiti wa
Victoria Foundation Mh. Bi. Vick Kamata yuko Geita kwa wananchi wake
kama anavyoonekana pichani akikabidhi baiskeli kwa walemavu 30 wa
tarafa ya Bugando wilaya ya Geita mkoa mpya wa Geita.
Hizi ni moja ya juhudi za mbunge huyo kwa wananchi wake katika kusaidia
kuondoa matatizo yanayowakabili watu wenye ulemavu wa viungo ambao
wamekuwa wakikabiliwa na matatizo mengi ukiwemo usafiri kama hizi
baiskeli zitakazowasaidia kwenda hapa na pale na kuendelea na shughuli
zao.
Hapa anaonekana akifurahia jambo na mmojwa wa walemavu waliokabidhiwa
baiskeli hizo na mbunge huyo.
Comments