MBUNGE WA CHADEMA AFARIKI KWA AJALI RUVU

Mbunge wa Viti Maalum, Morogoro, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA) Regia Mtema, amefariki Dunia leo kwa ajali ya gari eneo la Ruvu Darajani akiwa safarini kutoka Dar  kwenda Morogoro.
Ndani ya Gari hilo alilokuwa akiliendesha mwenyewe walikuwemo watu wengine wanne ambaohali zao mpaka sasa hazijaweza kufahamika.

 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA