MBUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA MBEYA DR.MARY MWANJELWA AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MWANNJELWA NA KUJIBU KERO ZAO MBALI MBALI



Mh Dr. Mary Mwanjelwa  mbunge wa viti maalum mkoa wa mbeya akiongea na wananchi wa mwanjelwa  katika kiwanja cha sido. Picha zaote kwa hisani ya Mbeya yetu Blog


Mh. Mary Mwanjelwa akihutubia wananchi katikati ya madimbwi ya maji ya mvua  huku akisisitiza kuwa ataenda kumwona mkurugenzi wa jiji la mbeya na kumwomba aje afukie madimbwi hayo huku wananchi wakimshangilia kwa ahadi hizo


Habari kamili tutawaletea baadae

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA