Mkurugenzi wa redio auwawa Mogadishu

Mkurugenzi wa redio ya binafsi nchini Somalia amepigwa risasi na kuuwawa mjini Mogadishu.
Askari wa AU, Mogadishu

Tovuti ya redio na televisheni ya kituo Shabelle, imeeleza kuwa watu wawili waliokuwa na silaha walimuuwa Hassan Osman Abdi karibu na nyumbani kwake.

Haijulikani aliyefanya shambulio hilo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*