Mkurugenzi wa redio auwawa Mogadishu

Mkurugenzi wa redio ya binafsi nchini Somalia amepigwa risasi na kuuwawa mjini Mogadishu.
Askari wa AU, Mogadishu

Tovuti ya redio na televisheni ya kituo Shabelle, imeeleza kuwa watu wawili waliokuwa na silaha walimuuwa Hassan Osman Abdi karibu na nyumbani kwake.

Haijulikani aliyefanya shambulio hilo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA