Nyota
wa muziki wa kizazi kipya Diamond kupandishwa mahakamani
jumatatu mjini Iringa kwa tuhuma za kumshambulia mmimili wa mtandao
huu na kuharibu vitendea kazi vyake. Hatua
ya Diamond kufikishwa mahakamani imekuja baada ya kuonyesha
kumpuuza mlalamikaji pamoja na wapambe wake kuomba suala hilo
lisifike mahakamani .
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Siku moja Imam Ahmad bin Hanbal ndiye alikuwa imam wa msikiti ambao ulikua umefurika waumini wengi. Waumini wakamuuliza: "Ewe Imam, wauona wingi huu wa watu waliokuja kuswali?" Akasema: "Hapana, sijaona hata mtu mmoja". Kwa mshangao mkubwa, mmoja wao akamuuliza: "Je, wewe ni kipofu mpaka usiwaone?" Swali lile lilikuwa na utovu wa adabu na heshima kwa Imam, lakini Imam Ahmad akawajibu: "Kipofu ni yule anayefumba macho yake asimuone mjane aliyeelemewa na mzigo mzito. Kipofu ni yule anayeelekea Qibla lakini akawageuzia mgongo yatima na masikini. Kipofu ni yule anayemsujudia Allah, lakini akawafanyia kiburi waja wake. Kipofu ni yule aliyesimama katika safu za wenye kusali lakini haonekani katika safu za wenye njaa na wasema kweli. Kipofu ni yule anayetoa sadaka siku moja, wakati ana uwezo wa kutoa sadaka kila siku. Kipofu ni yule anayefunga kuacha kula, lakini hafungi kuacha ya haramu. Kipofu ni yule anayeizunguka Nyumba Tukufu ya Makkah, lakini anasaha
" Sisi kama Serikali tumeweka mkakati wa kuchunguza shabiki yoyote Wakitanzania ambaye atakaye kwenda kinyume na uzalendo kuelekea mechi za CAFCL za Yanga na Simba" "Tukikuona umevaa jezi ya Mamelodi au Al Ahly tutakuchunguza na kukuchukulia hatua za kisheria vile inastahiki". - Dkt. Damas Ndumbaro, Waziri wa UtamaduniSanaa na Michezo la Wananchi Newspapers in Twitter (X)
WAKATI mashabiki wa Yanga wakishangilia ushindi wao baada ya kuichapa CR Belouizdad mabao 4-0 katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi, hali imekuwa sio nzuri kwa ofisa habari na mawasiliano wa klabu hiyo, Ally Kamwe baada ya kuzimia. Kamwe amekumbana na hali hiyo wakati akishangilia ushindi huo kwenye vyumba vya kubadilishia nguo akajikuta anaanguka na kupoteza fahamu. Baada ya tukio hilo, Kamwe akachukuliwa na kutolewa nje ya uwanja kisha kuwahishwa hospitalini baada ya kupatiwa matibabu akiwa ndani ya gari la wagonjwa. Katibu wa Madaktari wa Tiba za Wanamichezo nchini Dr Juma Sufian amethibitisha tukio hilo huku akiomba apewe muda kwani yuko kwenye harakati za kumsaidia msemaji huyo. "Ni kweli huyu ni Kamwe amepatwa na tatizo la kupoteza fahamu, tupeni muda tumsaidie haraka ili arejee kwenye afya yake,"amesema Sufian ambaye ni daktari wa zamani wa Yanga
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM), Meja Jenerali Francis Mbindi akizungumza na vyombo vya habari jijini Dodoma Februari 20,2024, kuhusu maandalizi hayo. Na Richard Mwaikenda, Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Samia Suluhu Hassan atakuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mkutano Mkuu wa 79 wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM) ambao Tanzania ni mwenyeji. Mkutano huo utakaoambatana na baadhi ya michezo pamoja na kutembelea baadhi ya vivutio nchini, unatarajiwa kuhudhuriwa na watu 300 kutoka nchi 140 wanachama wa Baraza hilo duniani. Akizungumza na vyombo vya habari jijini Dodoma Februari 20, 2024, Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya mkutano huo, Meja Jenerali Francis Mbindi amesema kuwa mkutano huo utakaofanyika jijini Dar es Salaam utaanza Mei 12, 2024 na uzinduzi utanywa na Rais Samia Mei 13, 2024. Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa JWTZ, Luteni K
KISIWA CHA MIGINGO Kisiwa cha Migingo kilichopo ziwa Victoria chenye ukubwa wa nusu ya uwanja wa mpira ile sehemu ya kuchezea(Pitch) . kisiwa hiki kidogo cha ufugaji kina zaidi ya watu 500. Ndo kisiwa kidogo kuliko vyote Afrika. Kisiwa hiki cha mawe chenye miundo mbinu mibovu , kina bar nyingi, na kumbi za wazi za anasa. Kabla kisiwa hiki kujaa watu kilikiwa kinakaliwa na wazee wawili tu. Pia kisiwa icho kilijaa ndege na nyoka wa kutosha. Kisiwa hiki kinapatikana nchini Kenya. π°πͺ Awali ya yote kisiwa hiki kilikuwa na mgogoro mkubwa sana kwani Uganda nao walisema ni chao huku kenya nao wakisema ni cha kwao. Maafisa wa uganda na kenya walitumia muda mrefu kupima mipaka hata kutumia mipak ya wakoloni ndipo wakapaya jibu. Hatimaye mwaka 2009 Rais Museveni wa Uganda akatangaza rasmi kuwa kisiwa hiki ni mali ya ardhi ya kenya.
Comments