MSANII DIAMOND KUPANDISHWA MAHAKAMANI IRINGA JUMATATU

Nyota wa muziki wa kizazi kipya Diamond kupandishwa mahakamani jumatatu mjini Iringa kwa tuhuma za kumshambulia mmimili wa mtandao huu na kuharibu vitendea kazi vyake.
Hatua ya Diamond kufikishwa mahakamani imekuja baada ya kuonyesha kumpuuza mlalamikaji pamoja na wapambe wake kuomba suala hilo lisifike mahakamani .

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA