NAPE AMPONGEZA MNYIKA KUPEWA UKATIBU UENEZI WA CHADEMA

Akizungumza leo mjini Dar es Salaam, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema anampongeza sana John Myika kuteuliwa na Chadema kuwa Mkuu wa Habari na Uenezi wa chama hicho.

"Nasema hatua ya Chadema kumchagua Mnyika kushika nafasi hiyo ni nzuri kwa kuwa imeonyesha nijinsi gani vijana wanaendelea kuaminiwa na kupewa nafasi muhimu za uongozi", alisema Nape na kumkaribisha Mnyika katika ulingo wa viongozi wa Uenezi katika vyama vya siasa.

Katika picha ni Nape na Mnyika walipokuwa katika kongamano la kisiasa lililofanyika hivi karibuni ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.