Ngereja akitoa maelekezo kwa watendaji wa mgodi wa Tulawaka unaomilikiwa na Barrick, alikuwa akiwa kwenye machimbo
Waziri
Ngereja akiwa wenye mgodi wa Kabanga Nickel uliko wilayani Biharamulo
alikuwa akionyeshwa eneo la machimbo na meneja mkuu wa mgodi huo Kevin
Olshefsk.
Ujumbe
ulioambatana na Ngereja ukiwa tayari kuingia kwenye mgodi wa Tulawaka
ulioko wilayani Ngara unaomiliwa na kampuni ya Barrick.
Sehemu ya machimbo ya mgidi wa Tulawaka uliko wilayani Biharamulo uliotembelewa na Waziri Ngereja.(PICHA NA AUDAX MTIGANZI MDAU WA MJENGWA BLOG)
Comments