Ngeleja atembelea mgodi wa tulawaka


Ngereja akitoa maelekezo kwa watendaji wa mgodi wa Tulawaka unaomilikiwa na Barrick, alikuwa akiwa kwenye machimbo
Waziri Ngereja akiwa wenye mgodi wa Kabanga Nickel uliko wilayani Biharamulo alikuwa akionyeshwa eneo la machimbo na meneja mkuu wa mgodi huo Kevin Olshefsk.
Ujumbe ulioambatana na Ngereja ukiwa tayari kuingia kwenye mgodi wa Tulawaka ulioko wilayani Ngara unaomiliwa na kampuni ya Barrick.
Sehemu ya machimbo ya mgidi wa Tulawaka uliko wilayani Biharamulo uliotembelewa na Waziri Ngereja.(PICHA NA AUDAX MTIGANZI MDAU WA MJENGWA BLOG)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA