PILIKAPILIKA ZA UJENZI WA MAKAZI MAPYA YA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MABWEPANDE

Mhandisi wa Mradi wa makazi mapya watakakohamia waathirika wa mafuriko, Ismail Mafita (kulia), akimuelezea Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana kuhusu maendeleo ya ujenzi wa mabanda ya waathirika leo katika eneo la Mabwepande, Dar es Salaam.

 Mmoja wa maofisa wlioko kwenye mradi huo, akiwaeleza baadhi ya waathirika wa mafuriko kutoka eneo la Hannanasif, walipokwenda kuangalia eneo hilo watakalohamia kuanza maisha mapya.
 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,Rugimbana  (kulia)akimpongeza mmoja wa askari wa JKT, wakati wa ujenzi wa mahema ya waathirika leo
 Rugimbana akisaidia kuweka sawa hema wakati wa ujenzi wa mabanda ya waahtirika
Baadhi ya waahtirika wa mafuriko wakitembezwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, kuona maendeleo ya ujenzi wa mahema watakamohamia


JKT wakiendelea kuenga mahema

Baadhi ya Askari wa JKT, wakihudumiwa maji baada ya kupata mlo wa mchana

Askari wa Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wakiendelea na ujenzi wa mahema kwa ajili ya makazi ya muda kwa waathirika wa mafuriko,katika eneo la Mabwepande, wilayani Kinondoni, Dar es Salaam. (PICHA ZOTE NA KAMANDA  RICHARD MWAIKENDA)
                                           Choo kikiandaliwa na fundi wa Msalaba Mwekundu
Mfumo wa maji wa muda ukiwa umetengenezwa
                                              

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*