Watoto waathirika wa mafuriko wakiwa wamebeba magodoro, wakitoka katika kambi ya waathirika ya Shule ya Sekondari ya Benjamin Mkapa, Dar esSalaam, baada ya Serikali kuamuru wapangaji wote kuondoka katika kambi kwenda kujihifadhi kwa ndugu zao.
Mtoto akiwa amelala akisubiri yeye na wazazi wake kuondoka katika kambi ya waathirika ya Shule ya Sekondari ya Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Mmoja wa watoto akijiandaa kuondoka na godoro lake
Mgambo akipekua mizigo ya mmoja wa waathirika aliyekuwa akiondoka katika kambi
Baadhi ya wapangaji waathirika wa mafuriko wakiwa nje ya lango kuu la kambi ya Benjamin Mkapa tayari kuondoka leo
Wamiliki wa nyumba za maondeni wakishusha vyombo vyao jana katika kambo ya Azania kutoka kwenye gari baada ya kuvitoa kwenye nyumba zao mabondeni, tayari kusubiri magari ya kuwahamisha kwenda kambi nyingine.
Baadhi ya waathirka wakiwa wamechoka wakisubiri kuhamishwa leo katika kambi ya Shule ya Sekondari ya Azania, Dar es Salaam.
Mtoto akicheza kwenye magodoro alipokuwa akisubiri kuhamishwa jkwenye kambi ya waathirika ya Azania. (PICHA ZOTE NA KAMANDA MWAIKENDA)
Mtoto akiwa amelala akisubiri yeye na wazazi wake kuondoka katika kambi ya waathirika ya Shule ya Sekondari ya Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Mmoja wa watoto akijiandaa kuondoka na godoro lake
Mgambo akipekua mizigo ya mmoja wa waathirika aliyekuwa akiondoka katika kambi
Baadhi ya wapangaji waathirika wa mafuriko wakiwa nje ya lango kuu la kambi ya Benjamin Mkapa tayari kuondoka leo
Wamiliki wa nyumba za maondeni wakishusha vyombo vyao jana katika kambo ya Azania kutoka kwenye gari baada ya kuvitoa kwenye nyumba zao mabondeni, tayari kusubiri magari ya kuwahamisha kwenda kambi nyingine.
Baadhi ya waathirka wakiwa wamechoka wakisubiri kuhamishwa leo katika kambi ya Shule ya Sekondari ya Azania, Dar es Salaam.
Mtoto akicheza kwenye magodoro alipokuwa akisubiri kuhamishwa jkwenye kambi ya waathirika ya Azania. (PICHA ZOTE NA KAMANDA MWAIKENDA)
Comments