Rais Jakaya Kikwete Ashiriki Mazishi Ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Regia Mtema Ifakara Morogoro

Rais Jakaya Kikwete akiweka shada la Maua kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Regia Mtema aliyezikwa katika makaburi ya Mkuya yaliyopo barabara ya Kivukoni kuelekea Ulanga, mjini Ifakara jana
Rais Jakaya Kikwete akiweka udongo kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Regia Mtema aliyezikwa katika makaburi ya Mkuya yaliyopo barabara ya Kivukoni kuelekea Ulanga, mjini Ifakara jana
Rais Jakaya Kikwete(Katikati)Mwenyekiti wa CHADEMA na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe(wa tatu kushoto)Naibu katibu Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Kigoma kaskazini Zitto Kabwe(wa Kwanza Kushoto)na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Joe Bendera(Wa Tatu Kushoto)na Spika wa Bunge Anne Makinda Wa Pili Kulia akiwa Kwenye Mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Regia Mtema aliyezikwa katika makaburi ya Mkuya yaliyopo barabara ya Kivukoni kuelekea Ulanga, mjini Ifakara. Picha na IKULU

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA