Rais mstaafu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi Aweka Jiwe la Msingi Katika Jengo la Dakhalia ya Chuo cha Uongozi wa Fedha Chwaka Mkoa wa Kusini Unguja
 
Rais mstaafu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi akifunua pazia kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi katika Jengo la Dakhalia ya Chuo cha uongozi wa Fedha Chwaka Mkoa wa Kusini Unguja ikiwa ni shamra shamra za sherehe ya kutimia miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi akitoa hotuba baada ya kuwekaji Jiwe la Msingi katika chuo cha Uongozi wa Fedha Chwaka Mkoa wa Kusini Unguja ikiwa ni shamra shamra za sherehe ya kutimia miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi akipatiwa maelezo ya ujenzi wa Dakhalia pamoja na kuangalia Ramani ya jengo hilo kwa Mshauri mwelekezi Sabra Ameir Issa huko Chwaka Mkoa wa Kusini Unguja ikiwa ni shamra shamra za sherehe ya kutimia miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi akikagua Jengo la Dakhalia ya chuo cha Uongozi wa Fedha Chwaka Mkoa wa Kusini Unguja ikiwa ni shamra shamra za sherehe ya kutimia miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi akiwa katioka picha ya Pamoja na Mawaziri na Wakandarasi wa Jengo la Dakhalia ya Chuo cha uongozi wa Fedha Chwaka Mkoa wa kusini Unguja ikiwa ni shamra shamra za sherehe ya kutimia miaka 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar.Picha na Yussuf Simai-Maelezoi-Zanzibar

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA