Ravalomanana hakuweza kuingia Madagascar


 
 Ndege iliyombeba rais wa zamani wa Madagascar, Marc Ravalomanana, kutoka uhamishoni Afrika Kusini, imelazimishwa kurudi ilikotoka.
Marc Ravalomanana

Bwana Ravalomanana ameishi uhamshoni tangu mwaka wa 2009, alipotolewa madarakani na Andry Rajoelina.
Tangu wakati huo, juhudi za kupatia ufumbuzi mzozo wa kisiasa wa nchi hiyo hazikufanikiwa.
Hii ni mara ya pili kwa rais huyo wa zamani kujaribu kurudi nyumbani.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA