Ravalomanana hakuweza kuingia Madagascar


 
 Ndege iliyombeba rais wa zamani wa Madagascar, Marc Ravalomanana, kutoka uhamishoni Afrika Kusini, imelazimishwa kurudi ilikotoka.
Marc Ravalomanana

Bwana Ravalomanana ameishi uhamshoni tangu mwaka wa 2009, alipotolewa madarakani na Andry Rajoelina.
Tangu wakati huo, juhudi za kupatia ufumbuzi mzozo wa kisiasa wa nchi hiyo hazikufanikiwa.
Hii ni mara ya pili kwa rais huyo wa zamani kujaribu kurudi nyumbani.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.