RC IRINGA DKT ISHENGOMA ,DC LUDEWA NA MBUNGE FILIKUNJOMBE WAONYESHA MFANO KWA VIONGOZI WENGINE
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akishirikiana na wapiga kura wake kupalilia kahawa ,kushoto ni mkuu wa wilaya ya Ludewa Geogina Bundala
Mkuu wa mkoa wa Iringa Dkt Ishengoma aking'olea nyasi mche wa kahawa
Viongozi tuwe wa mfano kwa sisi wenyewe kushiriki shughuli za kilimo
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe kushoto na mkuu wa mkoa wa Iringa Dkt Christina Ishengoma kulia wakitazama shamba la kahawa na mkulima wa kijiji cha Mawengi
Makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Ludewa MOnicha Mchilo ,mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe na mkuu wa mkoa wa Iringa Dkt Ishengoma wakitazama mashine ya kukoboa kahawa kata ya Mawengi(Kwa hisani ya Blog ya Francis Godwin)
Comments