Bingwa
wa Mchezaji wa Mmoja Mmoja wa Mashindano ya Taifa ya mchezo wa vishale
(Darts) kwa upande wa wanawake,Fabiola Namajojo kutoka Mzinga Mkoani
Morogoro,akikabidhiwa kikombe chake cha ushindi huo na Mwenyekiti wa
Mchezo wa Vishale (Darts) Taifa,Gesase Waigama wakati wa hafla fupi ya
kukabidhi zawadi kwa washindi iliyofanyika kwenye ukumbi wa Rose
Garden,mjini Dodoma.
Bingwa
wa Mchezaji wa Mmoja Mmoja wa Mashindano ya Taifa ya mchezo wa vishale
(Darts) kwa upande wa Wanaume,Aderade Chikoma kutoka mkoani
Mbeya,akikabidhiwa kikombe chake cha ushindi huo na Mwenyekiti wa Mchezo
wa Vishale (Darts) Taifa,Gesase Waigama wakati wa hafla fupi ya
kukabidhi zawadi kwa washindi iliyofanyika kwenye ukumbi wa Rose
Garden,mjini Dodoma.
Mmoja
wa wachezi wa timu ya Safari kutoka Mkoani wa Mwanza ambao ni Washindi
wa Pili wa Mashindano ya Taifa ya mchezo wa vishale (Darts),Umaru Habib
akipokea Kombe kwa niaba ya Nahodha wa timu hiyo kutoka kwa Mwenyekiti
wa Mchezo wa Vishale (Darts) Taifa,Gesase Waigama wakati wa hafla fupi
ya kukabidhi zawadi kwa washindi iliyofanyika kwenye ukumbi wa Rose
Garden,mjini Dodoma.
Wachezaji
wa Timu ya Safari kutoka Mkoani wa Mwanza ambao ni Washindi wa Pili wa
Mashindano ya Taifa ya mchezo wa vishale (Darts) wakishangilia ubingwa
wao huo mara baada ya kukabidhiwa kikombe na Mwenyekiti wa Mchezo wa
Vishale (Darts) Taifa,Gesase Waigama wakati wa hafla fupi ya kukabidhi
zawadi kwa washindi iliyofanyika kwenye ukumbi wa Rose Garden,mjini
Dodoma.
Nahodha
wa timu ya Rose Garden ya Mkoani Dodoma ambao ndio Mabingwa wapya wa
Mashindano ya Taifa ya mchezo wa vishale (Darts) kwa mwaka 2012,Carlos
Paranjo akipokea Kombe la ubingwa huo kutoka kwa Mwenyekiti wa Mchezo wa
Vishale (Darts) Taifa,Gesase Waigama wakati wa hafla fupi ya kukabidhi
zawadi kwa washindi iliyofanyika kwenye ukumbi wa Rose Garden,mjini
Dodoma.Wengine ni Baadhi ya wachezaji wa timu hiyo wakiwa na ubao wa
Darts ikiwa ni sehemu ya kushangilia ubingwa wao huo.
Mabingwa
wapya wa Mashindano ya Taifa ya mchezo wa vishale (Darts) kwa mwaka
2012,wakiwa kwenye meza picha ya pamoja na baadhi ya vingozi wa Taifa wa
Mchezo huo wakiongozwa na Mwenyekiti wa Mchezo wa Vishale (Darts)
Taifa,Gesase Waigama (wa pili kushoto waliokaa) mara baada ya
kukabidhiwa kombe lao wakati wa hafla fupi ya kukabidhi zawadi kwa
washindi iliyofanyika kwenye ukumbi wa Rose Garden,mjini Dodoma.Wengine
ni Baadhi ya wachezaji wa timu hiyo wakiwa na ubao wa Darts ikiwa ni
sehemu ya kushangilia ubingwa wao huo. (picha kwa hisani ya blogu ya Jane Joh)
Comments