Senegal yabanduliwa


Kily alifunga Equitorial Guinea goli la kihistoria

Wenyeji wenza Equatorial Guinea imeshangaza wengi kwa kuibandua njee ya mashindano ya kombe la nchi bingwa barani Africa .

Kabla ya mashindano hayo kuanza , Senegal ni mojawapo ya nchi ambazo zilikuwa zimepigiwa upato wa kushinda kombe hilo.

Lakini Equatorial Guinea ambayo katika nafasi ya 151 katika orodha ya FIFA ya hivi karibuni waliyakatiza mautumaini ya Senegal.

Aliyefungua ukurasa wa magoli ni Randy lakini katika dakika ya 89 Moussa Sow aliifngia Senegal bao na kufanya mambo kuwa 1-1.

Ni katika dakika za majeruhi ambapo mchezaji Kily alifumua mkwaju mkali toka umbali wa yadi 25 hadi kimyani. Hivi mambo ya kawa Equitorial Guinea 2 Senegal 1.

Japo matokeo hayo ni pigo kwa Senegal lakini ni furaha kwa timu ya Newcastle ya Uingereza kwani washambulizi wake Demba Ba na Papiss Cisse wanarudi uingereza kuisaidia timu yao katika mechi za Premier.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA