SIMBA YAISHINDA COASTAL UNION 2-1

Haruna Moshi (kulia) wa Simba akimtoka na Felix Stanley wa Coastal Union katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, jioni hii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba imeshinda bao 2-1.

Patrick Mafisango- Simba akigombea mpira na na Daniel Lianga wa Coastal Union

Patrick Mafisango- Simba (kulia) na Hamis Shengo- Cost Union

Patrick Mafisango- Simba (kulia) na Mbwana Hamis- Costal Union

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU