SIMU YA MCHINA YAMLIPUKIA NA KUMUUNGUZA HAULE

Mbunge  wa  Jimbo la  Ludewa,  Deo  Filikunjombe (kulia) akimjulia hali  mfanyabiashara  wa mafuta  katika Kijiji cha Luilo Ludewa,  Joseph  Haule  ambaye  amelipuliwa na mafuta  baada ya  simu  yake ya  kichina  kulipuka,majeruhi  huyo  anatibiwa katika Hospital ya  Wilaya ya Ludewa, mkoani Iringa. (PICHA ZOTE NA FRANCIS GODWIN)
                                            Filikunjombe na baadhi ya wananchi wakimjulia hali Joseph Haule
                                            Joseph Haule akiwa amelazwa Hospitali

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA