TIGO YAFANIKISHA BONANZA LA MICHEZO VYUO VIKUU DAR

Mchezaji wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Akiruka juu kufunga bao walipochuana na timu ya Chuo Kikuu cha Ardhi Dar es Salaam katika Bonanza lamichezo kwa Vyuo Vikuu lililoandaliwa na Kampuni ya Tigo, mwishoni mwa wiki.



 Mchezaji wa Taasisi ya Elimu ya Biashara (TIA), akiwa na mpira huku akikabwa na wachezaji wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika mchezo wa netiboli katika Bonanza hilo lililoandaliwa na Tigo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA