VODA YATOA SEMINA KWA WADAU KUTOKA TAASISI ZA KIFEDHA (TAMFI)
Mkuu
wa kitengo cha Mauzo cha Vodacom M-PESA Franklin Bagalla na Meneja wa
Vodacom M-PESA Magesa Wandwi wakisikiliza swali kutoka kwa mratibu wa
Taasisi za kifedha wa Mkoa wa Arusha Hamisi Shelukamba wakati wa semina
ya Taasisi za kifedha (TAMFI) iliyoandaliwa na Vodacom Tanzania mahususi
kwa ajili ya kunufaika na huduma Za M-PESA,semina hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam
Comments