VODA YATOA SEMINA KWA WADAU KUTOKA TAASISI ZA KIFEDHA (TAMFI)

Mkuu wa kitengo cha Mauzo cha Vodacom M-PESA Franklin Bagalla na Meneja wa Vodacom M-PESA Magesa Wandwi wakisikiliza swali kutoka kwa mratibu wa Taasisi za kifedha wa Mkoa wa Arusha Hamisi Shelukamba wakati wa semina ya Taasisi za kifedha (TAMFI) iliyoandaliwa na Vodacom Tanzania mahususi kwa ajili ya kunufaika na huduma Za M-PESA,semina hiyo ilifanyika  jijini Dar es Salaam

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA