Mmiliki wa Blogu hii ya Kamanda wa Matukio, Kamanda Richard Mwaikenda (kushoto) akifurahi na mamake mzazi, Ezelina Ihola pamoja na mkewe Mary Michael katika hafla ya muendelezo wa kuukaribisha mwaka mpya wa 2012 usiku wa kuamkia leo eneo la Kivule, Dar es Salaam.
Familia ya Kamanda Mwaikenda, ikiwa katika hafla hiyo ya kuupokea mwaka mpya wa 2012. Kutoka kushoto ni Lusekelo, Jackson na Geofrey
Mama mzaa chema, Bi. Ezelina akiwa na wajuu wake, Lusekelo (kulia) na Jak
Bibi Ezelina akiwafurahi jambo na mjukuu wake Jack
Familia ya Kamanda Mwaikenda, ikiwa katika hafla hiyo ya kuupokea mwaka mpya wa 2012. Kutoka kushoto ni Lusekelo, Jackson na Geofrey
Mama mzaa chema, Bi. Ezelina akiwa na wajuu wake, Lusekelo (kulia) na Jak
Bibi Ezelina akiwafurahi jambo na mjukuu wake Jack
Comments