WAGENI WAONYWA KUINGIA KENYA


Wizara ya Mashauri ya Nchi za Nje ya Uingereza imeonya wageni nchini Kenya, kwamba kuna tishio kubwa la mashambulio ya kigaidi.
Mbuga za wanyama za Kenya zavutai watalii

Wizara hiyo inasema inaamini kuwa magaidi wanaweza kuwa katika hatua za mwisho za mpango wa kufanya mashambulio, na kwamba wageni waepuke maofisi ya Kenya pamoja na maeneo ambako wageni na watalii kuhusanyika, kama mahoteli, maeneo ya maduka mengi na pwani.

Watalii kama milioni-moja walizuru kenya mwaka jana, asili-mia-10 zaidi kushinda mwaka uliotangulia.

Polisi wa Kenya wanaopambana na ugaidi hivi karibuni walimkamata raia mmoja wa Uingereza, na wanaamini kuwa wamegundua njama kubwa.

Piya wanawasaka raia wengine wawili wa Uingereza nchini Kenya ambao wanafikiriwa kuwa wana uhusiano na al-Shabaab.

Kikundi cha wapiganaji wa al-Shabaab cha Somalia kimeshafanya

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.