WAKAZI WA TABATA DAR HATARINI KUFA KWA KIPINDUPINDU

Mkazi wa mtaa wa Tenge, Tabata jijini Dar es Salaam (jina halikupatikana), akitupa taka kwenye dampo lisilo rasmi lililopo katika makazi ya watu na kuhatarisha afya za wakazi hao kutokana na harufu kali inayotoka katika dampo hilo. Kwa mujibu wa wakazi wa eneo hilo taka hizo zimekaa katika eneo hilo kwa muda wa zaidi ya miezi sita huku mamlaka husika zikishindwa kuondoa kero hiyo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA