Mmiliki wa Blogu hii, Kamanda Richard Mwaikenda, akivinjari Ikulu, Januari pili, mwaka huu.
Mwandishi wa Habari wa gazeti la Uhuru, Celina Wilson, naye alibahatika siku hiyo kufika Ikulu, Dar es Salaam.
Mwandishi wa Habari wa gazeti la Tanzania Daima, Hellen Ngolomera naye alikuwa miongoni mwa wana habari waliotinga Ikulu, siku hiyo wakati wa hafla ya kuwaapisha makatibu
Said Mwishehe wa gazeti la Jambo Leo, siku hiyo alifurahi kunusa Ikulu
Jopo la wanahabari likitoka Ikulu, Dar es Salaam baada ya kumaliza kazi waliyotumwa na wananchi
Mwandishi wa Habari wa gazeti la Uhuru, Celina Wilson, naye alibahatika siku hiyo kufika Ikulu, Dar es Salaam.
Mwandishi wa Habari wa gazeti la Tanzania Daima, Hellen Ngolomera naye alikuwa miongoni mwa wana habari waliotinga Ikulu, siku hiyo wakati wa hafla ya kuwaapisha makatibu
Said Mwishehe wa gazeti la Jambo Leo, siku hiyo alifurahi kunusa Ikulu
Jopo la wanahabari likitoka Ikulu, Dar es Salaam baada ya kumaliza kazi waliyotumwa na wananchi
Comments