WANANCHI WAFANYA VURUGU KUTAKA MIPAKA YA WAKULIMA NA WAFUGAJI KILOSA

Polisi wakiwakamata vijana waliofanya fujo wakati wa mkutano wa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Mkoa wa Morogoro, Halima Dendego (hayupo pichani) katika Kijiji cha Msowero, baada ya wananchi wa Vijiji vya Mambegwa na Msowero kufunga Barabara ya Kilosa- Dumila kwa magogo na mawe wakishinikiza kusikilizwa madai yao ya migogoro ya mipaka ya vijiji vya wafugaji na wakulima juzi. (PICHA YA BLOG YA HAKI NGOWI)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA