Mtoto Tusekile Mwaikenda (mwaka mmoja na miezi miwili), akiwa na furaha baada ya kuuona mwaka mpya wa 2012 leo.
Mtoto Tusekile 'Tuse' akiwa na Babu yake Michael Mbaya nyumbani kwa Kamanda Mwaikenda, Kivule, Dar es Salaam.
Mtoto mwingine wa Kamanda Mwaikenda, Ezelina (miaka mitatu na nusu), akitabasamu baada kusikia kuwa amevuka vyema mwaka 2011 kuingia mwaka mpya wa 2012 leo.
Mtoto Ezelina 'Lina' akiwa amepakatwa na Bibi yake mzaa mama, Anastazia nyumbani kwa Kamanda Mwaikenda, Kivule, Dar es Salaam leo
Mtoto Tusekile 'Tuse' akiwa na Babu yake Michael Mbaya nyumbani kwa Kamanda Mwaikenda, Kivule, Dar es Salaam.
Mtoto mwingine wa Kamanda Mwaikenda, Ezelina (miaka mitatu na nusu), akitabasamu baada kusikia kuwa amevuka vyema mwaka 2011 kuingia mwaka mpya wa 2012 leo.
Mtoto Ezelina 'Lina' akiwa amepakatwa na Bibi yake mzaa mama, Anastazia nyumbani kwa Kamanda Mwaikenda, Kivule, Dar es Salaam leo
Comments