Waziri wa Mazingira,Dk. Terezya Huvisa afanya mkutano na wakulima bonde la kilombero

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa akihutubia wananchi wa kijiji cha Utete Njiwa Jimbo la Ulanga Mashariki Wilaya Ifakara kuhusu Wakulima Waliovamia Mashamba ya Bonde la Mto Kilombero Mkoani Morogoro[Picha na Ali Meja]
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dkt Terezya Huvisa akimsikiliza Jambo Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Haji Mponda ambaye ni Mbunge wa jimbo la Ulanga Mashariki Wakati wa Mkutano wa Hadhara uliofanyika kijiji cha Lugala kuhusu Mashamba ya wakulima wa Bonde la kilombero Wilayani Ifakara Mkoani Morogoro kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Bw Francis Miti.[Picha na Ali Meja]
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dkt Terezya Huvisa akitoa Maelekezo kwe Afisa Wanyamapori wa Wilaya ya Ulanga Bw John Makotta kuhusu Mipaka ya Mashamba ya wakulima kwenye Bonde la Mto Kilombero Mkoani Morogoro jana[Picha na Ali Meja]

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU