YANGA KUJENGA GHOROFA JIPYA KARIAKOO



Mwenyekiti wa Yanga, Lloyd Nchunga, akibadilishana hati na Mkurugenzi Mtendaji wa NEDCO, Dk. Ambwene Mwakyusa kwa ajili ya makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa jengo la Yanga katika mtaa wa mafia jijini Dar es Salaam. Hafla hiyo imefanyika leo jijini Dar es Salaam. (PICHA NA  BLOG YA JANE JOHN)

Mwenyekiti wa Yanga, Lloyd Nchunga, Mkurugenzi Mtendaji wa NEDCO, Dk. Ambwene Mwakyusa na Kulia ni Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Mwesigwa Selestine.

Mwenyekiti wa Yanga, Lloyd Nchunga, na Mkurugenzi Mtendaji wa NEDCO, Dk. Ambwene Mwakyusa

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

ALLY KAMWE AZIMIA KWA MKAPA.

RAIS SAMIA KUZINDUA MKUTANO MKUU WA 79 WA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI

MIGINGO KISIWA KIDOGO ZAIDI AFRIKA KILICHOGOMBEWA NA UGANDA, KENYA