Mwenyekiti wa Yanga, Lloyd Nchunga, akibadilishana hati na Mkurugenzi Mtendaji wa
NEDCO, Dk. Ambwene Mwakyusa kwa ajili ya makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa
ujenzi wa jengo la Yanga katika mtaa wa mafia jijini Dar es Salaam. Hafla hiyo
imefanyika leo jijini Dar es Salaam. (PICHA NA BLOG YA JANE JOHN)
Mwenyekiti wa Yanga, Lloyd Nchunga, Mkurugenzi Mtendaji wa NEDCO, Dk. Ambwene
Mwakyusa na Kulia ni
Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Mwesigwa Selestine.
Mwenyekiti wa Yanga, Lloyd Nchunga, na Mkurugenzi Mtendaji wa NEDCO, Dk. Ambwene
Mwakyusa
Comments