ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA VIWANDA,BIASHARA NA MASOKO LAZARO NYALANDU JIMBONI KWAKE
Naibu
Waziri wa Viwanda na masoko Lazaro Nyalandu akizungumza na wananachi
katika eneo la mradi wa maji katika kijiji cha Migugu jana.
Naibu Waziri wa viwanda, Biashara na masoko wa (pili) Lazaro Nyalandu
akiongozana na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Singida
Illuminata Mwenda wa kwanza wakielekea kwenye mradi wa maji katika
shsule ya msingi Migugu.
Gari la Naibu Waziri wa viwanda, biashara na masoko Mhe.Lazaro
Nyalandu likiwa limekwama katika eneo la kijiji cha Migugu Kata ya
Makuro Tarafa ya Mtinko Singida vijijini wakati Naibu Waziri akienda
kukagua mradi wa maji katika shule ya Migugu.
Wananchi wa kijiji cha Kijota wakimpa zawadi ya Mbuzi Mbunge wao Lazaro Nyalandu mara baada ya akauhutubia wananchi hao.
Comments