BAILEYS (VALENTINES DAY) ILIVYOFANA HYYAT REGENCY HOTEL
Mwanamuziki Yvonne Mwale kutoka Zambia akitumbuiza katika sherehe za valentine zilizo andaliwa na kampuni ya bia ya serengeti kupitia Kinywaji cha Baileys jijini Dar juzi.
Afisa muwakilishi wa kinywaji cha Baileys Bi.Azda Imani akitoa mada katika sherehe ya valentine ilizoandaliwa na kampuni ya bia ya serengeti kupitia kinywaji cha Baileys jijini Dar juzi.
Meneja mkuu wa shirika la ndege la FLY 540 nchini Bw. Brown Francis akikabidhi zawadi ya tiketi ya ndege kwa mmoja wa washiriki wa sherehe ya valentine iliyoandaliwa chini ya udhamini wa kampuni ya bia ya serengeti juzi.
Watu mbalimbali waliohudhuria sherehe ya usiku wa valentine ulioandaliwa na kampuni ya bia ya serengeti kupitia kinywaji cha Baileys jijini Dar juzi
Comments