BREAKING NEWSSS WAFANYABIASHARA SOKO LA SOWETO MBEYA WAGOMA KUPANDISHIWA USHURU SASA WAJIANDAA KUANDAMANA MPAKA KWA MKURUGENZI WA JIJI

Baadhi ya wafanya biashara soko la soweto jijini mbeya wakiwa katika makundi makundi kujiandaa kwa maandamano kupinga ongezeko la ushuru wa soko toka sh 200 na kuwa sh 300 kwani wanadai ongezeko hilo nikubwa na hawaelewi pesa inakwenda wapi maana soko ni chafu mazingira ya kufanyia biashara hayafai
Baadhi ya vijana wakijiandaa kuchoma matairi

Baadhi ya wafanyabiashara wa soko la soweto wakipeana mikakati ya mgomo huo
Wateja wakiwa wanashangaa na hawajui la kufanya maana hakuna kinachouzwa sokoni hapo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.