KAMPUNI YA TIGO KUSAIDIA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA NEW LIFE ORPHANS HOME
Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Mawasiliano ya tigo Bi. Alice Maro (kulia)
akila chakula cha mchana na watoto wanaoishi katika mazingira magumu katika kituo cha kulelea watoto hawo cha NEW LIFE ORPHANS HOME kilichopo Kigogo Dar es salaam leo
Msimamizi wa Masoko wa Kampuni ya Mawasiliano ya tigo Bw. Gaurdence Mushi katikati akila chakula cha mchana na watoto wa kituo hiko leo
akila chakula cha mchana na watoto wanaoishi katika mazingira magumu katika kituo cha kulelea watoto hawo cha NEW LIFE ORPHANS HOME kilichopo Kigogo Dar es salaam leo
Msimamizi wa Masoko wa Kampuni ya Mawasiliano ya tigo Bw. Gaurdence Mushi katikati akila chakula cha mchana na watoto wa kituo hiko leo
Baadhi ya Watoto wanaolelewa katika kituo cha New Life Orphans home wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Kampuni ya tigo
Comments