KAMPUNI YA TIGO KUSAIDIA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA NEW LIFE ORPHANS HOME

Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Mawasiliano ya tigo Bi. Alice Maro (kulia)
akila chakula cha mchana na watoto wanaoishi katika mazingira magumu katika kituo cha kulelea watoto hawo cha NEW LIFE ORPHANS HOME kilichopo Kigogo Dar es salaam leo


Msimamizi wa Masoko wa Kampuni ya Mawasiliano ya tigo Bw. Gaurdence Mushi katikati akila chakula cha mchana na watoto wa kituo hiko leo



Baadhi ya Watoto wanaolelewa katika kituo cha New Life Orphans home wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Kampuni ya tigo






Watoto wakiwa na zawadi zao baada ya kukabidhiwa leo



Zawadi zikipangwa kwa ajili ya kuwapatia watoto wa katuo hiko leo


Burudan ya sarakasi ikitolewa

Meneja wa Huduma za Burudan wa Kampuni ya tigo Bw. David Zacharia kushoto akipokea risala kutoka kwa kaka mkuu wa kituo hiko Issa Athumani


Mkurugenzi wa Kituo hiko Bi.Mwanaisha Magambo akiwaonesha maofisa wa kampuni ya tigo sehemu mbalimbali wanazoishi watoto wa kituo hichoH




WAKIPATIWA MAELEZO KAMILI



warembo wa tigo waki shoo love mbele ya kamera ya burudan blog

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*