KATIBU MKUU WA TFF, ANGETILE OSIAH AENDA INDIA KUFANYIWA UPASUAJI WA KICHWA


Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Angetile Osiah ameondoka juzi kwenda nchini India kufanyiwa upasuaji wa kichwa katika Hospitali ya Apollo.

Osiah hivi karibuni alilazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, kitengo cha Taasisi ya Tiba ya Mifupa (MOI), ambapo alilazwa kwa kusumbuliwa na uvimbe kichwani.

Upasuaji huo umetokana na ushauri wa madaktari waliokuwa wana mpatia matibabu katika Taasisi hiyo.

Uongozi wa Blog ya Kamanda wa Matukio unamtakia matibabu mema na unaamini kuwa Mungu atamjalia, Amina.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI